Mawasiliano kati ya wananchi wa kijiji cha kipo na Mloka wilayani Rufiji mkoani Pwani ambavyo ni kitovu kikuu cha njia ya magari makubwa ya kusafirisha vifaa kuelekea kwenye mradi wa umeme bwawa la Mwalimu Nyerere yamekosekana kwa zaidi ya siku kumi sasa baada ya barabara kuharibika vibaya kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchi nzima na kusababisha mafuriko ya mto Rufiji.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE