Katika ujumbe uliotolewa na waziri wa afya Fahrettin Koca kupitia ukurasa wake wa Twitter, watu 75 wamekwishafariki tangu kaunza kwake nchini China.
Koca metangaza vifo vya watu 16 waliokuwa wakipatiwa matibabu , vifo hivyo vimepelekea idadi hiyo kuongezeka na kufikia watu 75.
Watu 3629 wamepimwa na kugunduliwa wakiwa na virusi hivyo.
Katika muda wa masaa 24, watu 7286 wamefanyiwa vipimo.
Fahrettin Koca amewatolea wito raia kuzingatia hatua zilichukuliwa katika kukabiliana na virusi.