VIDEO: Kauli ya Mwisho ya Marin Hassan Marin akilia ''tumeandika historia''


Nguli wa habari nchini aliyekuwa akifanya kazi katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Marin Hassan Marin, amefariki dunia leo Aprili 1, 2020 katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE