Corona imeisha tutafungua Shule za Msingi na chekechea hivi karibu- JPM


“Tulitaka kumpa utawala shetani badala ya kumpa Mungu, nawashukuru Watanzania kwenye corona tumeshinda, nina uhakika hivi karibuni baada ya kufungua vyuo tunaangalia mambo yanavyoenda na shule za msingi, chekechea na nini,  nazo ziko mbioni tutazifungua”-JPM

“Tuko pamoja na Walimu, shida tunazijua, nikisahau Mwl. Majaliwa ananikumbusha, akisahau Mhagama anamkumbusha, akisahau anakumbushwa na Mwl Ndalichako au Mwl Mkuchika wakisahau wote hata Mkewe Mama Majaliwa anamkumbusha Majaliwa mahali pema pa kukumbushwa”-JPM