“Tunaingia kwenye uwanja wa siasa wa kufanya kampeni kutafuta Chama kitakachoongoza Nchi, tufanye kampeni za kistaarabu, tuwape fursa wananchi kuchagua wanayemtaka, CUF tunakuja na ajenda ya furaha kwa Mtanzania inawezekana” -Prof. Lipumba mbele ya JPM kwenye Mkutano Mkuu CCM Dodoma leo