MKUU wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo amewahakikishia waumini wa dini ya Kiislaam wilayani hapo kwamba watashirikiana bega kwa bega kujenga msikiti mkubwa wa kisasa wa ghorofa mbili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
0 Comments