Yanga yamsajili Yassin Mustapha Salum

Beki wa kushoto, Yassin Mustapha Salum akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC, Wakili Patrick Simon (kulia) wakati wa kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Wana Jangwani akitokea Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.