Rais wa Uturuki Recep Tayyıp nErdoğan azungumza na waziri mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez kwa njia ya simu.
Kwa mijibu wa kitengo kinachohusika na mawasiliano ikulu ni kwamba rais wa Uturuki na waziri mkuu wa Uhispania wamejadili kuhusu ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili.
Masuala tofauti ikiwemo hali iliopo katika ukanda imejadiliwa.
0 Comments