Kocha Mohamed Nasreddine Nabi wa Yanga amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi julai wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Msimu wa 2020/21
Nabi aliiogoza Yanga sc kushinda mechi 2 na kutoka sare mechi 1 (aliifunga Simba Sc bao 1-0, Ihefu mabao 2-0 na kutoka sare 0-0 na Dodoma Jiji).
0 Comments