https://monetag.com/?ref_id=TTIb Wanajeshi nchini Guinea wamzuia kwa muda waziri wa zamani | Muungwana BLOG

Wanajeshi nchini Guinea wamzuia kwa muda waziri wa zamani



Utawala mpya wa kijeshi nchini Guineaumemkamata waziri wa zamani siku ya Jumapili na kupekua nyumba yake kabla ya kumuachia saa kadhaa baadye.

Wanaume waliokuwa wamevalia sara walivamia nyumba ya Tibou Kamara katika mji mkuu wa Conakry wakati wa asubuhi, kumkamata na kumpeleka mahali pasipojulikana. Aliachiliwa huru mwendo wa mchana.

Vitu kadhaa ikiwemo simu zilichukuliwakutoka kwake.

Kukamatwa kwake kunaashiria kulithibitishwa na Kamati ya kitaifa ya maridhiano na (CNRD) Pamoja na timu yake.

Viongozi wa mapinduzi wanamtuhumu kwa kukiuka ahadi ya kutokua na upande wowote katika usimamizi wa jeshi.

Bw. Kamara alikuwa waziri wa viwanda na mshauri war ais wa zamani Alpha Condé, ambaye alifurushwa madarakani mapema mwezi huu.

 

Post a Comment

0 Comments