BREAKING NEWS: RAIS AFANYABMABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko Madogo katika Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu.


 Ofisi ya Rais Ikulu

Waziri wa Nchi Kazi Maalum – Kapeni Geroge Mkuchika


Waziri wa Utumishi – Jenista Mhagama


Naibu Waziri Utumishi – Deogratius John Ndejembi


TAMISEMI


Waziri – Innocent Bashungwa


Naibu Waziri – David Silinde


Naibu Waziri – Festo Dugange


Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira


Waziri – Suleimani Jafo

Naibu Waziri – Hamis Hamis


 


Sera Bunge

Pindi Chana

Nderiananga


Wizara ya Kazi Ajira


Waziri – Ndalichako waziri


Wizara ya Ulinzi –


Wizara ya Sheria na Katiba

Waziri –  George Simbachawene

Naibu Waziri – Godfrey Mizengo Mizengo Pinda


Wizara ya Kilimo

Waziri – Hussein Bashe

Naibu Waziri – Anthony Mavunde


Wizara ya Uvuvi

Waziri – Mashimba Ndaki

Naibu Waziri – Abdallah Hamisi Ulega


Wizara ya Ardhi

Waziri – Angelina Mabula

Naibu Waziri – Ridhiwani Kikwete


Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.


Akitangaza mabadiliko hayo leo Jumamosi Januari 8, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema Rais amefanya mabadiliko ya muundo katika wizara tatu.


Rais Samia amefanya mabadiliko hayo ikiwa anatimiza ahadi yake ya kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri.


Ofisi ya Rais Ikulu

Waziri wa Nchi Kazi Maalum – Kapeni Geroge Mkuchika


Waziri wa Utumishi – Jenista Mhagama


Naibu Waziri Utumishi – Deogratius John Ndejembi


TAMISEMI


Waziri – Innocent Bashungwa


Naibu Waziri – David Silinde


Naibu Waziri – Dugange


Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira


Waziri – Suleimani Jafo


Naibu Waziri – Hamis Hamis


Wizara ya Kazi Ajira


Waziri – Ndalichako


Naibu Waziri – Patrobas Katambi


Wizara ya Fedha


Waziri – Mwigulu Mwigulu

Naibu Waziri – Chande


Wizara ya Ulinzi


Waziri – Stergomena Tax


Wizara ya Sheria na Katiba

Waziri –  George Simbachawene

Naibu Waziri – Godfrey Mizengo Mizengo Pinda


Wizara ya Kilimo

Waziri – Hussein Bashe

Naibu Waziri – Anthony Mavunde


Wizara ya Uvuvi

Waziri – Mashimba Ndaki

Naibu Waziri – Abdallah Hamisi Ulega


Wizara ya Ardhi

Waziri – Angelina Mabula

Naibu Waziri – Ridhiwani Kikwete

Post a Comment

0 Comments