Mtaalamu wa masuala ya usalama na mhudumu wa zamani wa Uingereza Justin Crump anasema juhudi za Urusi "zimeshindwa pakubwa". Lakini anasema madai ya Ukraine ya kuwaangamiza zaidi ya wanaume 1,000 huenda sio kweli.
Akizungumza na BBC, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la usalama la Sibylline Ltd anakadiria kuwa zaidi ya Warusi 140-180 waliuawa.
Anaeleza kuwa magari 70 au 80 yaliripotiwa kuharibiwa katika shambulio la Ukraine.
0 Comments