Uongozi wa kanisa kuu la Anglikani kasulu linaloendeshwa na Dioseces ya Western Tanganyika inawatangazia watu wote nafasi za masomo ya kujiunga na kidato Cha kwanza kwa mwaka 2023 na pia nafasi za masomo kuhamia kidato Cha pili ,tatu na nne.
Shule ni ya bweni na ni mchanganyiko na wasichana
Shule ipo mkoa wa kigoma na wilaya ya kasulu mjini barabara kuelekea kuelekea kabanga
Shule inapokea wanafunzi wa dini zote na kulelewa kwa misingi ya dini zao
Mazingira ya shule ni rafiki kwa mwanafunzi kujifunzia na kusomea na pia tuna walimu wa kutosha kabisa
Ada zetu ni rafiki Sana kwa mzazi na zinalipwa awamu nne kwa mwaka ada ni laki Tisa (900000) na mchango wa maendeleo ya shule laki na elfu hamsini(150000)
Na Karo inalipwa kwa mchanganuo ufuatao hapo chini
January 225000 + 150000,aprili 225000,June 225000 na September 225000 ewe mzazi / mlezi usisumbuke shule ya Bishop Makaya ni suruhisho la taaluma kwa mwanao karibu sana
Kwa mawasiliano fika shuleni au piga simu Namba 0759616085
0744069064
0763120698
0764111338
0 Comments