Dimpoz amekuwa ni mtu wa ibada siku zote na kupitia ukurasa wake wa Instagram, ame-post picha kadhaa akiwa ndani ya msikiti jirani “Al-Ka'abah” ambao ni nyumba maalum ya Mwenyezi Mungu na kawaida wahudhuriaji huzunguka mara 7.
Makka ni mji mtakatifu wa Uislamu na kila mwaka mamilioni wa Waislamu wanahiji kwenda Makka.
0 Comments