https://monetag.com/?ref_id=TTIb Rais Mwinyi ahutubia siku ya wafanyakazi Duniani ukumbi wa sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar | Muungwana BLOG

Rais Mwinyi ahutubia siku ya wafanyakazi Duniani ukumbi wa sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Maadhimishi ya Siku ya Wafanyakazini Duniani Mei Mosi yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) Ndg. Ali Mwalimu akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, kabla ya kumkaribisha mgeni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wafanyakazi.

MKURUGENZI wa Jumuiya ya ZANEMA Ndg. Salah Salim Salah akitowa salamu za Wafanyakazi wa Zanzibar katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliofanyika katika ukumbi Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanziubar.

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) Bi. Mwatum akisoma Salamu za Wafanyakazi wa Zanzibar wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi iliofanyika katika ukumbi wa mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar  Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga akizungumza wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yalioadhimishwa katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Mfanyakazi Bora kutoka Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Tawi la Pemba Ndg. Ali Thani Awesu, wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mfanyakazi Bora kutoka Shirika la Bandari Zanzibar Ndg Masoud Haji Juma, wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.

WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

BAADHI ya Wafanyakazi Bora kutoka Taasisi mbalimbali Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi  yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

BAADHI ya Wakuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani ) akihutubia katika maadhimisho hayo yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

BAADHI ya Wafanyakazi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupom pichani) akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yaliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar kuhudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yalioadhimishwa Kitaifa katika Mkoa wa Mjini Magharibiu Unguja na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar.Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soroga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) Ndg. Ali Mwalimu, alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar kuhudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi.











 

Post a Comment

0 Comments