"Huko mbele, katika safu za kujenga nchi, Mtanzania yeyote mwenye ueledi na umahiri, anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa, nitamwingiza afanye kazi. Sitachagua huyu katoka chama kipi, yule katoka chama gani."
-Rais Samia Suluhu Hassan
-Rais Samia Suluhu Hassan
0 Comments