Bilioni 328.2 kutumika kugharamia zoezi la sensa mwaka 2022


 "Jumla ya shilingi bilioni 328.2 zinatarajiwa kutumika kugharamia zoezi la sensa mwaka 2022 na kwa Mara ya kwanza tangu taiga kupata Uhuru sensa hii itakuwa ya kwanza kutumia vishikwambi katika zoezi la kuhesabu" - Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango

Post a Comment

0 Comments