Mbunge wa zamani wa Ubungo, Said Kubenea amechukua fomu ya urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) huku aking'aka kucheleweshwa.
Kubenea ametinga TFF saa 7:45 mchana akiwa ameambatana na mtu mwingine mmoja na kuongoza kuingia kwenye ofisi ya mwanasheria wa TFF
0 Comments