Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Akizindua zoezi la utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 , Ikulu Jijini Dar es Salaam, Leo Julai 28, 2021
“Mimi ni mama wa watoto 4 na ni bibi wa wajukuu kadhaa wanaonitegemea,ni mke pia, ni rais na amri jeshi mkuu..nisingetoka kujihatarisha wakati ninategemewa. Sioni hatari iliyopo kuchanjwa. Wanasayansi wamejiridhisha na Mimi nipo Tayari kuchanjwa” Samia Suluhu Hassan
0 Comments