Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF limetangaza ratiba ya kwanza ya mashindano ya vilabu barani Afrika kwa msimu wa 2021/22.
Mashindano yataanza rasmi kwa hatua ya awali mnamo Septemba 10, 2021
Droo ya nani atakutana na nani katika raundi za awali itafanyika Agosti 15, 2021.
0 Comments