https://monetag.com/?ref_id=TTIb CHUO CHA ROYAL KINATANGAZA NA FASI ZA MASOMO | Muungwana BLOG

CHUO CHA ROYAL KINATANGAZA NA FASI ZA MASOMO

 


Chuo cha Royal Training Institute Kilichopo Mbagala Jijini Dar es salaam kinawatangazia nafasi za masomo kwa kozi za mwezi April na Septemba mwaka huu.


 Usajili umeanza na Unaendelea chuoni Royal Training Institute.

Chuo kimesajiliwa na NACTE kwa usajili namba REG/HAS/103.


Kozi zinazotolewa na Royal Training Institute ni:-

Ordinary Diploma in Pharmaceutical Sciences(Kozi ya Ufamasia) miaka mitatu. Uwe na Alama D nne zikiwemo Kemia na Baiolojia.


Ordinary Diploma in Pharmaceutical Sciences (In Service) Mwaka 1-uwe umemaliza NTA Level 5


Pia Chuo cha Mafunzo Royal kwa kushirikiana Na Mamlaka ya Elimu ya ufundi (VETA) kingependa kuwajulisha wahitimu wa kidato cha nne  kwamba sasa Chuo kinatoa kozi ya msaidizi wa maabara (Certificate in Laboratory Assistants) ngazi ya 1, 2 na 3 Uwe umemaliza kidato Cha nne na kupata cheti  muhula utaanza Mwezi wa nne . Wahitimu watafanya kazi kwenye mashule, viwanda na taasisi mbalimbali. Chuo pia kitatoa punguzo kwako na kukusaidia kupata kazi.



Pia chuo Cha Royal  Institute kinatoa kozi ya Manunuzi na Ugavi(Procurement & Supply) ngazi ya cheti na Diploma. Uwe na ufaulu wa D 4 katika masomo ya kidato Cha nne.


Kwa Maelezo zaidi wasiliana na chuo Cha Royal kwa namba 0688353310, 0713325507, 0692972523, 0788083484

Au kwa barua pepe pharm_royal@yahoo.com, au tembelea tovuti yetu ya WWW.RTI.AC.TZ.


KUMBUKA KUNA PUNGUZO GHARAMA ZA HOSTELI KWA WALE WATAKAOWAHI..









Post a Comment

0 Comments