Onesmas huwa anacheza piano kanisani.
Onesmas na mkewe kitandani.
Kwa kukagua habari ambazo hushirikisha wafuasi wake nazo Facebook, ni rahisi kusema Kinyua ni mcha Mungu.
Onesmas Kinyua
Huenda hiyo ilikuwa athari ya kutazama sana vipindi vya televisheni na hakuona ubaya kufanya hivyo. Alikosolewa sana na Wakenya na labda hatasahau tena na kuweka picha kama hizo tena.
Kwa kutoa maelezo zaidi alisema aliweka picha hiyo alipokuwa akitafuta mtoto.


