Adama Barrow: Nitarudi Gambia usalama ukiimarika

Rais wa Gambia Adama Barrow amesema kuwa atarudi nchini Gambia wakati ECOWAS itakapoona ni salama kwa yeye kurudi.

Amesema kuwa atalipa kipao mbele swala la uchumi na ataanzisha tume ya haki na maridhiano ili kuchunguza ukiukaji wa haki za kibinaadamu.

''Kutokana na ukweli tutaweza kuridhiana na kusonga mbele'',alisema.

JIUNGE NASI KATIKA
INSTAGRAM @Muungwanablog

FACEBOOK @Muungwana Blog

YOUTUBE @Muungwana Tube

BOFYA HAPA KU-INSTALLAPP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items