
GEITA: Takribani wachimbaji 14 akiwemo raia mmoja wa China wamefukiwa na kifusi cha udongo katika mgodi wa dhahabu wa RZ Nyarugusu.
- Aidha vikosi vvya uokoaji vinaendelea na jitihada za kuwaokoa wahanga hao.

Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Sawa