Idadi ya vifo katika shambulizi la kigaidi Mali yaongezeka

Idadi ya maafa katika shambulizi Gao nchini Mali yazidi kuongezeka

Idadi ya watu waliofariki katika shambulizi lililotekelezwa Jumatano dhidi ya kambi ya wanajeshi Gao imeripotiwa kuziki kuongezeka.

Watu 60 wamefariki kufikia sasa na wengine 115 kujeruhiwa.

Shambulizi hilo lilitokea mapema asubuhi kaskazini mwa Mali.

Rais wa Mali Ibrahim Bubakar Keita alihotubia raia na kuwafahamisha maafa hayo.

JIUNGE NASI 
 INSTA@MUUNGWANABLOG ,FB@MUUNGWANABLOG,YOUTUBE @MUUNGWANA TUBE, BOFYA HAPA KU-INSTALL APP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.
Mpya zaidi Nzee zaidi