Benjamini Sitta
Mahakama imefuta kesi hiyo leo baada ya kukubaliana na pingamizi la awali lililowekwa na meya wa manispaa hiyo, Benjamini Sitta kupitia kwa wakili wake, Baraka Nyambita.
Kesi hiyo namba 3 ya mwaka 2016 ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea umeya katika manispaa hiyo kupitia Chadema, Mustafa Muro na aliyekuwa mgombea wa nafasi ya unaibu meya kupitia chama hucho, Jumanne Mbunju.
