
Watu 9 wameripotiwa kufariki baada ya mgodi mmoja wa mawe kuporomoka kaskazini mwa China .
Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Shanxi unaopatikana katika jimbo la Åžuoco nchini China .
Watu 10 pia wameripotiwa kunaswa katika mgodi huo chini ya ardhi.
Mwezi Januari nchini China katika wilaya za Heylongciang, Hinan na Hubey jumla ya watu 40 wamepoteza maisha katika ajali kadhaa za migodi ya makaa ya mawe.
JIUNGE NASI
INSTA@MUUNGWANABLOG ,FB@MUUNGWANABLOG,YOUTUBE @MUUNGWANA TUBE, BOFYA HAPA KU-INSTALL APP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.