Mgodi wa makaa ya mawe waporomoka China

Mgodi wa makaa ya mawe waporomoka China
Watu 9 wameripotiwa kufariki baada ya mgodi mmoja wa mawe kuporomoka kaskazini mwa China .

Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Shanxi unaopatikana katika jimbo la Åžuoco nchini China .

Watu 10 pia wameripotiwa kunaswa katika mgodi huo chini ya ardhi.

Mwezi Januari nchini China katika wilaya za Heylongciang, Hinan  na Hubey jumla ya watu 40  wamepoteza maisha katika ajali kadhaa za migodi ya makaa ya mawe.

JIUNGE NASI 
 INSTA@MUUNGWANABLOG ,FB@MUUNGWANABLOG,YOUTUBE @MUUNGWANA TUBE, BOFYA HAPA KU-INSTALL APP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.
Mpya zaidi Nzee zaidi