Rapper Roma Mkatoliki amesema ngoma yake ‘K’ yenye mahadhi ya Singeli na aliyofanya na Baghdad imeongeza idadi ya simu anazopigiwa na mapromota kwaajili ya show.
Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Roma amesema wimbo huo umekuja na neema tafauti na watu wanavyofikiria.
Amedai kuwa mapromota wengi wamekuwa na mawazo wa kufanya naye show zenye majina ya wimbo huo. Na pia amedai kuwa hivi karibuni aliitumbuiza ngoma hiyo jukwaani na watu wakapagawa vibaya.
Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Roma amesema wimbo huo umekuja na neema tafauti na watu wanavyofikiria.
Amedai kuwa mapromota wengi wamekuwa na mawazo wa kufanya naye show zenye majina ya wimbo huo. Na pia amedai kuwa hivi karibuni aliitumbuiza ngoma hiyo jukwaani na watu wakapagawa vibaya.
JIUNGE NASI KATIKA
INSTAGRAM @Muungwanablog
FACEBOOK @Muungwana Blog
YOUTUBE @Muungwana Tube
BOFYA HAPA KU-INSTALLAPP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.
