PICHA 6: Yanga wanavyojiandaa kwa Mapinduzi Cup Zanzaibar

Baada ya kikosi cha Yanga kuwasili jana visiwani Zanzibar, leo Janury 1 kimefanya mazoezi kwenye uwanja wa Kianga kujiandaa na mashindano ya Mapinduzi Cup yaliyoanza rasmi December 30.dsc_0353Yanga itacheza mchezo wake wa kwanza wa Mapinduzi Cup kesho dhidi ya Jamhuri saa 2:15 usiku.dsc_0239
dsc_0224
dsc_0257
dsc_0318
Mpya zaidi Nzee zaidi