Rais Donald Trump alivyokabidhiwa ukurasa wake wa Twitter akiwa bado anahutubia

Tokeo la picha la President TrumpTrump akiwa bado anendelea kuhutubia Wamarekani, tayari ukurasa rasmi wa rais wa Marekani kwenye Twitter umebadilishwa na kuwa wake. Ujumbe ulioandikwa na utawala wa Obama umefichwa na kuhifadhiwa.
 JIUNGE NASI 
 INSTA@MUUNGWANABLOG ,FB@MUUNGWANABLOG,YOUTUBE @MUUNGWANA TUBE, BOFYA HAPA KU-INSTALL APP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.


Mpya zaidi Nzee zaidi