TAARIFA KWA WANAHABARI
KESHO Juampili February 19/2017 viongozi Wa chama cha ACT Wazalendo wataongea na waandishi Wa habari kuhusu masuala mbali mbali ya nchi.
Muda:Saa tano kamili asubuhi(5:00)
Mahali:Makao makuu ya ACT Wazalendo yaliyopo Sayansi Kijitonyama Jirani na Kanisa la KKKT
muhimu kuzingatia muda.
Abdallah Khamis
Afisa Habari
