KIUNGO Frank Lampard ametangaza kustaafu soka ya ushindnai baada ya zaidi ya miongo miwili ya kuwa kazini.
Gwiji huyo wa Chelsea, ambaye alishinda heshima zote kubwa wakati wake akiwa kazini Stamford Bridge, ameamua kustaafu baada ya kuondoka New York City ya Ligi Kuu ya Marekani mwishoni mwa msimu.
Lampard, mwenye umri wa miaka 38 sasa, ametangaza kustaafu kwake kupitia ukurasa wake wak Instagram ambako ameposti ujumbe wa kuwashukuru wote waliochangua mafanikio yake ikiwemo kuichezea mechi 106 timu yake ya taifa ya England.
Gwiji huyo wa Chelsea, ambaye alishinda heshima zote kubwa wakati wake akiwa kazini Stamford Bridge, ameamua kustaafu baada ya kuondoka New York City ya Ligi Kuu ya Marekani mwishoni mwa msimu.
Lampard, mwenye umri wa miaka 38 sasa, ametangaza kustaafu kwake kupitia ukurasa wake wak Instagram ambako ameposti ujumbe wa kuwashukuru wote waliochangua mafanikio yake ikiwemo kuichezea mechi 106 timu yake ya taifa ya England.
