VIDEO: Jokate asema Beyonce alikataa nisipige naye picha
byMuungwana Blog 5-
0
Baada ya picha ya mrembo Jokate Mwegelo kuonekana pembeni ya mastaa wa dunia Beyonce na Jay Z huko Marekani pamoja na mtoto wao Blue Ivy, Jokate kaeleza imekuaje akapata nafasi ya kuwasogelea… alipoomba picha wakamjibu vipi? bonyeza play hapa chini