Kamishna wa jeshi la polisi kitengo cha kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya , Mihayo Msikhela amefunguka na kuzungumzia mafanikio ya operesheni hiyo.
Aidha kamanda huyo alidai jeshi hilo linawashikilia maafisa wawili wa TRA aliojihusisha kupitisha kemikali bashirifu (precursor chemicals ) na b ado wawili wanatafutwa.
Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii kamanda huyo alidai operesheni hiyo imeweza kutekelezwa ipasavyo na wakuu wa mikoa mbalimbali.
Aidha kamanda huyo alidai jeshi hilo linawashikilia maafisa wawili wa TRA aliojihusisha kupitisha kemikali bashirifu (precursor chemicals ) na b ado wawili wanatafutwa.
Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii kamanda huyo alidai operesheni hiyo imeweza kutekelezwa ipasavyo na wakuu wa mikoa mbalimbali.
