Video: maafisa 2 wa TRA mbaroni katika operesheni madawa ya kulevya

Kamishna wa jeshi la polisi kitengo cha kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya ,  Mihayo Msikhela amefunguka na kuzungumzia mafanikio ya operesheni hiyo.

Aidha kamanda huyo alidai jeshi hilo linawashikilia maafisa wawili wa TRA aliojihusisha kupitisha kemikali bashirifu (precursor chemicals ) na b ado wawili wanatafutwa.

Akiongea na waandishi wa habari  Ijumaa hii kamanda huyo alidai operesheni hiyo imeweza kutekelezwa ipasavyo na wakuu wa mikoa mbalimbali.


Mpya zaidi Nzee zaidi