Mjane ambaye jina lake halijafahamika amejitokeza katika sherehe za kuadhimisha siku ya Sheria nchini ikiwa imeudhuriwa na mgeni rasmi Rais Magufuli huku akiwa ameshika bango akiwa anaelekea kwenye meza kuu ambayo alikuwepo Rais Magufuli ndipo Usalama wa taifa walipo mvamia na kumtoa nje ndipo Rais Magufuli akataka aachiliwe ili aeleze yanayo msibu mama huyo..
ANGALIA VIDEO HII KUONA TUKIO ZIMA..
