Mchungaji huyo amedai ameamua kubadilisha namna ya kuubiri kwa kuwa dunia inaenda kila siku ikibadilika.
“Lazima ujue huku duniani watu wanaongea nini, ukitoka hapo ndio utajua dunia inataka nini. Utajua kumbe ‘Kamatia Chini’ imefulia, iko acha maneno weka muziki,” alisema mchungaji huyo. “Mimi sio yule mchungaji wa kizamani, Acha maneno weka muziki,”