Mjadala umefika mpaka Bungeni Dodoma na baadhi ya Wabunge waliosikika wakichangia ni pamoja na Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga aliyesema yupo tayari hata kuwataja baadhi ya wabunge wanaohusika na bishara hiyo.
Tazama hii video hapa chini akichangia ishu mbalimbali ikiwemo na hiyo.
VIDEO: Cheki hii: Wakikutana Simba na Fisi huwa hapatoshi