Wachezaji kadhaa wa taifa la Cameroon watatazama mechi ya fainali ya siku ya jumapili ya kombe la bara Afrika kwa majuto.
Takriban wachezaji wanane kutoka Cameroon walikataa kukubali mwaliko wa kuliwakilisha taifa lao nchini Gabon.
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Senegal El Hadji Diouf ameambia BBC kwamba wachezaji hao wangemsikiliza msanii wa muziki wa Reggae Bob Marley.
''Sielewi watu wanaokataa kuwakilisha mataifa yao'', mshambuliaji huyo wa Senegal aliambia tovuti ya BBC.
''Na alivyosema Bob Marley iwapo hujui unakotoka hujui kwa kwenda'',alisema.
Takriban wachezaji wanane kutoka Cameroon walikataa kukubali mwaliko wa kuliwakilisha taifa lao nchini Gabon.
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Senegal El Hadji Diouf ameambia BBC kwamba wachezaji hao wangemsikiliza msanii wa muziki wa Reggae Bob Marley.
''Sielewi watu wanaokataa kuwakilisha mataifa yao'', mshambuliaji huyo wa Senegal aliambia tovuti ya BBC.
''Na alivyosema Bob Marley iwapo hujui unakotoka hujui kwa kwenda'',alisema.
VIDEO: Majanga katika Harusi..

