Yusuf Manji Kupandishwa Kizimbani Kesho

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji anatarajia kufikishwa mahakamani jijini Dar es Salaam.

Taarifa zinasema, Manji anatarajia kufikishwa kesho asubuhi ingawa haijaelezwa atafikishwa kwa kosa lipi.

Manji ni kati ya wanaoshikiliwa baada ya kuwa wametajwa kwenye tuhuma za suala la madawa ya kulevya.








VIDEO: CHUI AKIPAMBANA NA CHATU

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia