Kanjunju awachefua mashabiki wa Simba


Mashabiki wa Simba wameonyesha wazi kukerwa na kauli ya Kanjunju John, shabiki wa Yanga ambaye amepata umaarufu baada ya kuangua kilio hadharani.

Kanjunju alisema haipendi Simba, anaichukia hali inayomfanya hadi aichukie rangi nyekundu.


Baada ya kauli yake hiyo kuingia mitandaoni, mashabiki wa Simba walianza kumshambulia wakisema hafanani kuwa shabiki wa Simba.

Mashabiki wengé walimzodoa Kanjunju kwamba alikuwa akilia kutafuta mtaji.

Kanjunju aliamua kutoa ufafanuzi huo baada ya kuwa na taarifa kwamba, yeye ni Simba lakini alidanganya kuwa Simba.




Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo ... 

Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..

Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia