Martha Ntoipo: Wamasai watakiwa kubadilika katika ufugaji

Wakati mkutano wa 16 wa watu wa asili ukiendelea mjini New York Marekani, jamii hizo zinazojihusisha na ufugaji hususani wamasai zimetakiwa kubadilisha mfumo wa ufugaji ili kupata maendeleo endelevu, amesema Martha Ntoipo mwakilishi wa jamii ya wafugaji nchini Tanzania kutoka taasisi ya wafugaji na maendeleo (PIDO).

Katika mahojiano maalum na idhaa hii, Bi Martha amesema jamii ya Kimasai inaweza kupiga hatua zaidi kupitia ufugaji akisema.

Bi Ntoipo amesema baada ya mkutano huu atahakikisha jamii asilia zinapata taarifa ya kile kilichojiri kwa kutumia mkakati huu.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia