Anna Mghwira kuapishwa Asubuhi hii kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

 Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi ya Mawasiliano Ikulu Gerson Msigwa kupitia ukurasa wake wa Twitter inaeleza hivi "Mhe. Rais Magufuli atamuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mteule - Anna Mghwira leo Juni 6, 2017 saa 3:30 asubuhi hii Ikulu Dsm
#HapaKaziTu"


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia