Huu ndio uzi wa Arsena msimu mpya wa 2017/2018

Arsenal watambulisha rasmi jezi watakazo tumia kwenye msimu ujao 2017/2018.

Wachezaji waliotambulisha jezi hizo ni pamoja na Alexis Sanchez, Olivier Giroud na Mesuti Ozil.

Jezi hizo ni kwaajili ya michezo ya nyumbani.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia