Mbunge wa Jimbo la Kawe Halima Mdee amefikshwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Leo Jijini Dar es salaam.
Halima Mdee (Chadema), alikamatwa Julai 4 Jioni, na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa na agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi. Kwa kile kilichodaiwa alitoa lugha ya kumtukana Rais Magufuli
