Lukaku akitua tu, Mpangilio wa Man U utakuwa hivi

Manchester United iko katika hatua za mwisho kumnasa mshambuliaji Romelu Lukaku kwa kitita cha pauni million 75.

Pamoja na Lukaku, Jose amemmlenga kiungo Ivan Perisic raia wa Croatia. Kama atawapata hawa, maana yake kikosi chake msimu ujao kitaonekana kama unavyoona hapo juu.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia