Kaimu Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dsm amepiga marufuku uwepo wa magari yenye vioo vya tinted katika jiji la Dar.
Amesema imebaidinika magari hayo hutumika kwa mambo ya ujambazi na uvunjifu mwingine wa maadili ikiwemo ngono, hivyo kuanzia Jumatatu itafanyika operesheni maalumu ya kukamata magari hayo.
Amesema imebaidinika magari hayo hutumika kwa mambo ya ujambazi na uvunjifu mwingine wa maadili ikiwemo ngono, hivyo kuanzia Jumatatu itafanyika operesheni maalumu ya kukamata magari hayo.
