BREAKING NEWS: Serikali imelifungia gazeti la Mwanahalisi


SERIKALI kupitia  Idara ya Habari Maelezo, imelifungia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa muda wa miaka miwili likidaiwa kukithiri kuandika habari zinazokiuka maadili ya taaluma hiyo.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia