BREAKING NEWS: Serikali imelifungia gazeti la Mwanahalisi
byMuungwana Blog 1-
0
SERIKALI kupitia Idara ya Habari Maelezo, imelifungia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa muda wa miaka miwili likidaiwa kukithiri kuandika habari zinazokiuka maadili ya taaluma hiyo.