DR Congo: Watu 6 wafariki katika ajali ya ndege

Watu wafariki katika ajali ya ndege ndogo Magharibi mwa Jmahuri ya kideomkrasia ya Congo

Watu 6 waripotiwa kufariki katika ajali ya ndege iliotokea Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Taarifa zinafahamisha kuwa  watu hao walofariki ni watalii kutoka Marekani  ambao waliokuwa wakitalii mbuga za wanyama.

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi majira ya mchana katika eneo la Wele, kijiji ambacho kinapatikana  Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia