VIDEO: Kauli ya Rais Magufuli kwa Mwanafunzi aliyepigwa risasi na Polisi

“Nimesikitishwa sana na kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwilini wa Chuo cha Usafirishaji (NIT).Natoa pole kwa familia,ndugu,wanafunzi wa NIT na wote walioguswa na msiba huu. Nimeviagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua za kisheria waliosababisha tukio hili”, ameandika rais Magufuli.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE