Nyumbani Neymar kufanyiwa ultrasound byMuungwana Blog 2 -3/27/2018 09:00:00 PM 0 Huu ni mguu wa nyota wa Brazil, Neymar ambaye ni majeruhi kwa sasa ukifanyiwa ultrasound jana. Mchezaji huyo wa Paris Saint-Germain yuko nje kwa miezi mitatu tangu mwanzoni mwa mwezi huu baada ya kuumia enka. Facebook Twitter